Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 20, 2010

Jamaa akipa moyo

Mkaka mmoja alimfumania mkewe na njemba ingine. Sasa rafiki yake akawa anampooza hasira.

Rafiki: Ndugu yangu usijali sana, hii imetokea sio ndio mwisho wa dunia. Sahau yaliyopita.

Mwenye mke: We unasema tu jamaa angu. Ingekuwa ndio wewe umemkuta mtu ana... mkeo wa ndo ungefanyaje?

Rafiki: Mhh! Ningemvunja shingo mara tatu na kutoboa macho.

No comments:

Post a Comment