Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 21, 2010

Mama nanihii

Siku moja mama nanihi... Alisikika akimuambia mwanae kwa ukali ''wee mwana kesho ukanyoe nywele hizo unaongoza humu ndani kumaliza sabuni''

Mtoto jeuri nae akauliza ''zipi sasa?''

No comments:

Post a Comment