Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 24, 2010

Hii toka duka la madawa...

Mwanamke mmoja alienda kununua dawa fulani ambayo alihojiwa na m-pharmacia:

Pharmacy: We unaihitaji hii ya nini?
M'ke: Nataka kwenda kumuua mume wangu.
Pharmacy: Hapana siwezi kukupatia kwa kweli.

Mwanamke akatoa picha ya mume wake akiwa kitandani na mke wa M-pharmacia kisha mfamasia akasema ''ngoja nakupa sasa hivi, sasa mbona ukusema kama una vigezo?''

No comments:

Post a Comment