Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 27, 2010

Jani

Vijana wawili walikua wamekaa chini ya mti na ka-giza giza fulani. Mmoja akamuambia mwenzake.

''kama ningekuwa na tochi vile...'' jamaa mwenzake akamuuliza, ''kwa nini?''

Jamaa akajibu ''umekuwa ukila majani kwa dakika 20 sasa.''

No comments:

Post a Comment