Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 23, 2010

Ndoa...

Vijana wa makamo wawili walikuwa wakiongelea maisha yao kama ifuatavyo:

Wa kwanza, ''nataka nioe nimechoka kuiona nyumba vululu vululu, vyombo vichafu na nguo chafu za kuvaa''

Wa pili, ''naitafuta talaka kwa sababu hizo hizo ulizotaja.''

No comments:

Post a Comment