Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 20, 2010

Wezi na mkakati

Jamaa wakati anapita sehemu kichochoroni akasikia maongezi ya vibaka wakipanga mikakati yao:
Kibaka wa kwanza: Sasa leo nyumba ngapi?
Kibaka wa pili: leo nne hivi sio mbaya, hatuna njaa sana.
Kibaka wa tatu: Leo nipo nanyi bega kwa bega.

Kibaka wa kwanza akamgeukia kibaka wa tatu na kumuambia: "we leo huendi popot''

Kibaka wa tatu akauliza "kwa nini nsiende nanyie?''
Kibaka wa kwanza akajibu ''una kikohozi''

No comments:

Post a Comment