Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 21, 2010

Sura mbaya

Jamaa mmoja mwenye sura mbaya alienda kuwapa kazi (dei waka) vijana fulani wachimbe bwawa, siku kadhaa mbele akatembelea kwa ukaguzi wa bwawa hilo. Alipofika akauliza "myaani mmeanza kufuga na viboko humu?" kumbe ni taswira ya sura yake kwenye maji ya bwawani.

No comments:

Post a Comment