Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 20, 2010

Wapi upo?

Mama mmoja alikaa nyumbani akaboreka, akanyakua simu ili ampigie mumewe ajue yupo wapi akajumuike nae.

Mke: Halow mume wangu kipenzi?
Mume: Halow honey.
Mke: Upo wapi nije? Nyumbani panaboa.

Mume: Nipo Zanzi bar.
Mke: Enhee...!!? Yaani usafiri mpaka zanzibar, bila kuaga, unantafuta wewe.... (aliwaka kwenye simu mwanamke)

Mume akamkatisha, ''mke wa-a-ngu, kuna bar inaitwa NZANZI...''

No comments:

Post a Comment