Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 21, 2010

Toto tundu...

Mtoto mmoja alimuona baba yake akianza mambo ya ukubwa kwa mama yake, ghafla akatokea mtoto wao na kuuliza "baba unafanya nini?" Baba akajibu "Najaza tanki la mama yako."

Mtoto akaendelea kuongea "ujaze vizuri kwa sababu fundi cherahani leo asubuhi amejaza haraka haraka"

No comments:

Post a Comment