Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 21, 2010

Dokta na mgonjwa wake.

Mzee mmoja baada ya kupata matibabu maongezi yao na dokta yakawa hivi:

Mgonjwa: Nashukuru sana dokta.
Dokta: Usijali.
Mgonjwa: Nilitaka nikupe hela, lakini badala yake nimekujumlisha kwenye barua ya urithi.
Dokta: Oh! Kiko wapi kile cheti kuna kitu nataka badilisha...?

No comments:

Post a Comment