Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 26, 2010

Oda

Jamaa alienda bar, akaagiza mishkaki. Ilichukua takribani nusu saa akiisubiri baada ya muda kidogo mhudumu akaja na kumuambia ''samahani kaka umeagiza mishkak?''
Kaka akajibu ''ndio''

Mhudumu akamjibu ''oh! Ndio wanamchuna ngozi ng'ombe vumilia kidogo tu''

No comments:

Post a Comment