Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 25, 2010

P. O. P.

Daktari mmoja alikuwa anapoke sana rushwa, hivyo siku moja aliekewa mtego baada ya kutaka hela toka kwa mtoto wa kigogo. Ikawa hivi:

Mtoto alienda na hiyo pesa, daktari akamchoma sindano ya usingizi kisha akamfunga ile P. O. P. mkononi.

Mtoto kutoka nje baada ya sekunde polisi wakaingia kusach ile hela hawakuipata.

Siku ya kuling'oa lile P.O. P. alienda kwa Daktari yule yule. Daktari akamng'oa na pia akazichomoa zile pesa zilikuwemo ndani ya lili p.o.p kisha akamuambia yule mtoto 'kamwambie baba ako kuwa ile pesa ndo naenda itumia sasa.'

No comments:

Post a Comment