Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 20, 2010

Potea njia...

Jamaa mmoja alikua anaendesha gari ghafla akahisi amepotea.

Akapaki pembeni kwenda kuuliza. Akafika kugonga mlango, akafukua bibi na kumsalia kisha akauliza ''kuelekea michiga ni wapi?''

Bibi akajibu: Sifahamu kwa kweli.

Basi jamaa akakubali matokeo na kuondoka. Kidogo kabla hajafika mbali akasikia sauti kabla hajafika mbali, akachungulia kwenye kioo akamuona yule bibi akijaribu onyesha ishara jamaa arudi.

Jamaa akageuza gari mpaka pale bibi akamwambia kijana ''huyu hapa ni mume wangu, na yeye hajui pia.''

No comments:

Post a Comment