Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 19, 2010

Kofia...

Kulikuwa na mama mtu mzima kidogo akipita maeneo fulani, ghafla upepo mkali ukapita.
Papo hapo akapita kaka na kumuambia yule mama,

'mama unathubutu kuachia gauni lapeperuka na upepo unashikilia kofia.

'mama akajibu huko kila kitu uko chini kuna umri wa miaka 70, hii kofia brand new''

No comments:

Post a Comment