Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 24, 2010

Konda akidai chake

Siku moja kwenye daladala wakati anadai nauli hali ilikuwa hivi:

Konda: Ma mdogo hapo nauli yako.
Ma mdogo akajibu, ntakupa nimekaa vibaya.

Konda: Haya, na akina mama hapo mbele?
Akina mama, tutakupa subiri.
Konda: Akina baba huko nyuma?
Akina baba wakajibu, ''aaah we mtoto we shika adabu yako''

No comments:

Post a Comment