Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 26, 2010

Darasani

Mwalimu mmoja aliwauliza wanafunzi wa darasa la kwanza swali ''baba yako akikopa sh 1,000/= halafua akienda kukopa sh 1,000/= atakuwa anadaiwa sh ngapi?

Mtoto: Hatolipa kitu.
Mwl: We mtoto una akili kweli.
Mtoto: Ndio ninazo kwa sababu humjui baba yangu.

No comments:

Post a Comment