Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 26, 2010

Mbio mbio...

Jamaa alifumaniwa na akatoka mbio bila nguo...kufika kwake mkewe akamuuliza vip?jamaa akajibu nimevamiwa na majambazi wamenipora kila ki2 mpaka nguo.mkewe akamjibu kweli hao majambazi kiboko wamekuvalisha mpaka condom..!! Tafakari!

No comments:

Post a Comment