Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 20, 2010

Maongezi kijiweni.

Jamaa mmoja akitwanga stori na wenzake kuhusu nini cha kumfanya mwanaume utaemfumania na mkeo. Hali ilipendeza kwa staili hii:

Kijana 1: Me namfumua fumua nywele hata kama hajasuka.

Kijana wa 2: Aisee, me ntamkata na ulimi kabisa.

Kijana 3: Haa! Mimi? Mi aise nam-logaa akisimama tu na mwanamke yeyote tu ana-jamba jamba.

No comments:

Post a Comment