Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 29, 2010

Gitaa

Kaka mmoja alikuwa akimuambia mwenzake kuhusu yeye kuhama alipokuwa akiishi na jirani yake.

Rafiki akauliza, ''kwa nini umehama?
Jamaa akajibu ''kwa sababu ya kelele za gitaa kila siku usiku kwa muda wa saa moja''

Rafiki yake: Gitaa? Jamaa: ndio lilikuwa lapiga kelele sana usiku.
Rafiki yake: So ukaamua kuhama eneo kwa kuepuka kelele za gitaa? Si ungewaambia waache hizo kelele?

Jamaa: Nilihama, ni mimi nikiepiga gitaa...

No comments:

Post a Comment