Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 25, 2010

Ajali

Jamaa aligonga mtu bahati mbaya akiwa na pick-up hakusimama. Akakanyaga mafuta mpaka polisi kurepoti alipofika akawa anaelezea sasa:

Dereva: ...nimegonga mtu pale mkwedu.
Polisi: Maiti umeiacha wapi?
Dereva: Pale pale.

Polisi kufika kuikagua gari ndo wanaiona maiti imeangukia kwenye pick-up nyuma.

No comments:

Post a Comment