Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 23, 2010

Mpenzi na mpenziwe

Siku moja dada mmoja alimuandikia meseji mpenzi wake, na maongezi yao yalikuwa kama ifuatavyo:
Dada: Honey unafanya nini?
Kaka: Nasoma meseji yako.
Dada: Anha nha! Mi nauliza unafanya nini now?
Kaka: Nasoma meseji yako ingine.
Dada: Jamaani, niini lakini? Mi nauliza unafanya nini?
Kaka: Haya, najibu meseji yako.
Dada: Mhh! Umeshinda.

1 comment:

  1. hahahhaha mi hapo hapo nambwaga hahahahha

    ReplyDelete