Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 25, 2010

Chabo

Watoto wawili na wazazi wao walikuwa wamepanga chumba kimoja. Kitanda cha ghorofa, juu wanalala watoto chini wazazi.

Siku moja mtoto mmoja alimuuliza mwenzake ''we umewasikia madingi jana usiku?', dogo akajibu ''hapana.''

Basi ngoja leo ntakustua. Ilipofika usiku wakati wazazi wameanza vitu vyao yule mtoto akaamwamsha mwenzake kimya kimya ''oya.. oya.. Wameanza''

Dogo kwa sababu analala upande wa ukutani wakati anajiandaa kupiga chabo si akaporomoka mpaka chini yaani katikati ya shughuli za madingi....

No comments:

Post a Comment