Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 23, 2010

Uuwiii

Mama mmoja alienda kumuangalia mumewe, maongezi yakn na dokta yalikuwa hivi:

Dokta: Mumeo atakufa siku yoyote karibuni.
Mke: Usiniambie kitu nnachojua tayari, we niambie kama kutakuwa na upelelezi...

No comments:

Post a Comment