Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 25, 2010

Mtoto na baba

Mtoto akimuuliza baba yake:
Mtoto: Mbona umechelewa sana?
Baba: Oh, mwanangu ndege ilipata matatizo kidogo angani.
Mtoto: Ilipata pancha?

Baba: Hapana mwanangu ni ya umeme umeme tu.
Mtoto: Usiniambie umeme waliwakatia tanesco?
Baba: !

No comments:

Post a Comment