Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 20, 2010

Honi ya gari

Baba akimpeleka mwanae shule ghafla akapiga honi bahati mbaya. Mwanae akamgeukia na kumuangalia, baba akasema,

Baba: Sijapiga honi makusudi, ni bahati mbaya tu.

Mtoto: Najua dady!
Baba: ...!! Umejuaje?
Mtoto: Kwa sababu hujatukana baada ya kupiga...

No comments:

Post a Comment