Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 20, 2010

Changudoa

Jamaa mmoja alishalewa pombe za kienyeji, akanyanyuka kwenza kuimbisha changudoa mmojawapo kati ya waliopo sokoni siku hiyo. Si mbali na alipo hali ikawa hivi:

Mlevi: Haya leo bei gani?
Changu: Elfu tano tu mzee wangu.
Mlevi: Mbona Bei mbaya hivi na VAT umo umo?
Changu: Hapana ila biashara ngumu tu.

Mlevi: Si ufungue branch lingine pia? Vipi discount?
Changu: Discount mpaka xmas mzee wangu.
Mlevi: Saa hizi saa ngapi?
Changu: Saa tatu usiku.

Mlevi: Ndio maana bei ipo juu, basi ntakuja tena saa sita usiku...

No comments:

Post a Comment