Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 24, 2010

Mapenzi na simu

Dada mmoja kwao mambo safi kidogo, siku moja alimpigia simu boi frend wake wakawa wanaongea malavi davi kwa simu ya mezani.

Maongezi yalitafuna muda ile mbaya mpaka opareta wa kampuni husika ya simu akaingilia maongezi. ''dada samahani, unapiga simu toka kwa mzee...'' yule dada akajibu ''ndio.'' Basi yule dada wa Kampuni akamuambia ''bill kubwa jamani unamsabishia mlipaji''

*true story*

No comments:

Post a Comment