Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 20, 2010

Kuopoa

Jamaa mmoja alienda club kujirusha, baada ya masaa kadhaa na pombe tena kama unavyojua...
Si akaopoa mrembo wa kwenda kujivinjari nae. Ndani ya club wakakubaliana vyeema kabisa walipofika nje jamaa akamuuliza yule dada ''samahani kidogo hivi ndio wewe tulieongea ndani?'' yule dada akajibu ''ndio.''

Yule jamaa akashindwa kuvumilia akamuambia ''mbona umezeeka ghafla?''
Yote hiyo kumbe taa za disco zilimrembesha yule dada.

No comments:

Post a Comment