Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 22, 2010

Walevi wawili...

Wawili wawili walilewa chakari, wakawa wanabishana kuhusu mwezi wanaouona juu.
Mmoja akawa anasema ni wa kijani na mwingine anasema ni mwekundu. Wakaamua kwenda kumuuliza polisi mmoja aliekuwa doria, "eti askari sie tunabishana ule mwezi juu ni wa kijani au mwekundu?" Yule askari akaangalia juu na kuwauliza baada "upo sasa wa kushoto au kulia?"

1 comment: