Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 29, 2010

Darasani matokeo

Mwalimu akiwaambia wanafunzi. ''kwa kweli sijaridhishwa na majibu yenu kwenye mtihani''

Mwanaftnzi nae akarukha na kujibu, 'hata sisi hatujaridhishwa na maswali'

No comments:

Post a Comment