Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 27, 2010

Kasuku...

Kuna kasuku mmoja alikuwa anafugwa kwenye danguro. Mama mmoja akataka amnunue akaambiwa lakini kasuku ana matusi, yule mama akasema ntamnunua hivyo hivyo.

Alipomnunua akamueka kwake. Kasuku akaongea.
Kasuku: Hee! Danguro jipya, boss mpya. (akimaanisha matha house).

Kidogo wakaingia watoto wa mwenye nyumba wawili kasuku akasema.

Kasuku: Hee, danguro jipya, malaya wapya.
Kidogo akaingia baba mwenye nyumba. Kasuku akasema.
''hee! George karibu kwenye danguro jipya.

No comments:

Post a Comment