Dokta wa meno: Nimeliona jino linalokusumbua.
Mgonjwa: Utanichaji shilingi ngapi?
Dokta: Elfu 20 tu.
Mgonjwa: Khaa yaani kwa dakika chache tu hela yote hiyo?
Dokta: Usijali, basi ntakung'oa taratiiibu mpaka mwenyewe utafurahi:
Karibu Sana.
Cheka Unenepe
Sunday, October 31, 2010
Friday, October 29, 2010
Pichu Nyeupe
Vijana wawili wakati wakiwa kwenye maongezi yao binafsi:
Daudi: naona umetoka kuoga bado kunukia sasa!
Frank: Anha kawaida yangu si unajua tena.
Daudi: Na kweli, naona umeamua kutinga chupi nyeupe kabisa.
Frank: Hehehe ukiona hivyo leo nna ki-date na mtoto mzuuri.
Dauidi: Hee! kumbe.
Daudi: naona umetoka kuoga bado kunukia sasa!
Frank: Anha kawaida yangu si unajua tena.
Daudi: Na kweli, naona umeamua kutinga chupi nyeupe kabisa.
Frank: Hehehe ukiona hivyo leo nna ki-date na mtoto mzuuri.
Dauidi: Hee! kumbe.
Thursday, October 28, 2010
Elfu tano
Mtoto: Mama naomba shilingi elfu tano.
Mama: Hapana sina mwanangu leo.
Mtoto: Basi sikuambii baba alichomuambia dada (housegirl).
Mama akatoa hela na kumpa elfu tano.
Mama: Enhe! Alimuambia nini?
Mtoto: Alimuambia asisahau kumfulia sox zake kesho.
Mama: Hapana sina mwanangu leo.
Mtoto: Basi sikuambii baba alichomuambia dada (housegirl).
Mama akatoa hela na kumpa elfu tano.
Mama: Enhe! Alimuambia nini?
Mtoto: Alimuambia asisahau kumfulia sox zake kesho.
Kuzaliwa
Mtoto: Mama kwani mimi nimezaliwaje?
Mama: Ooh, mwanangu wewe uliletwa na malaika.
Mtoto: Na je wewe na baba?
Mama: Pia sie hivyo hivyo.
Mtoto: Na Babu na bibi je?
Mama: Pia na wao.
Mtoto: Ah! Hii ripoti ntashindwa iandika maana katika familia yetu vizazi vitatu vyoote hamna kilichozaliwa.
Mama: Ooh, mwanangu wewe uliletwa na malaika.
Mtoto: Na je wewe na baba?
Mama: Pia sie hivyo hivyo.
Mtoto: Na Babu na bibi je?
Mama: Pia na wao.
Mtoto: Ah! Hii ripoti ntashindwa iandika maana katika familia yetu vizazi vitatu vyoote hamna kilichozaliwa.
Baloon
Mzee mmoja alipanda baloon (puto kuubwa la kuelea hewani), baada ya kuwa hewani kwa dakika kadhaa akawa hajui yupo wapi.
Akalishusha kidogo toka hewani, kicha akamuuliza kijana mmoja ''samahani eti hapa nipo wapi?''
Kijana akajibu ''ooh! Upo kwenye baloon, mita chache toka kwenye ardhi!''
Akalishusha kidogo toka hewani, kicha akamuuliza kijana mmoja ''samahani eti hapa nipo wapi?''
Kijana akajibu ''ooh! Upo kwenye baloon, mita chache toka kwenye ardhi!''
Wednesday, October 27, 2010
Jambazi
Jambazi mmoja mkuu akiwauliza wenzake "nani yupo tayari kuvuna pesa?"
Wale majambazi wadogo wakajibu "sisii"
Akawauliza tena, "Je mpo tayari kwa kazi hiyo?"
Wakajibu "ndio"
Akawauliza tena "mpo tayari kufa?"
Wakajibu "ndiooo"
Mmoja wa wale wadogo akauliza "samahani uliza swali la mwisho tena?"
Wale majambazi wadogo wakajibu "sisii"
Akawauliza tena, "Je mpo tayari kwa kazi hiyo?"
Wakajibu "ndio"
Akawauliza tena "mpo tayari kufa?"
Wakajibu "ndiooo"
Mmoja wa wale wadogo akauliza "samahani uliza swali la mwisho tena?"
Pesa bank
Mmasai mmoja alienda bank kuweka hela, alipofika baada ya kuweka akasema "siweki tena pesa yangu bank" Jamaa mmoja akamuuliza "kwa nini?." Mmasai akajibu "metoka weka pesa bank mtu mwingine kazichukua, eti wanasema pesa yangu imebaki kwa karatasi."
Tuesday, October 26, 2010
Andunje
Kulikua na vijana wawili wafupi mno (emolo/andunje). Wakapata warembo kila mmoja wapo.
Wakaenda guest house.
Ilipofika asubuhi wakawa wanaulizana:
Andunje wa kwanza: Vipi mwenzangu jana ilikuwaje?
Andunje wa pili: Ilikuwa aibu sikuweza mfikia vizuri, enhe na wewe ilikuwaje?
Andunje wa kwanza: Bora wewe mie hata kitandani nlishindwa panda.
Wakaenda guest house.
Ilipofika asubuhi wakawa wanaulizana:
Andunje wa kwanza: Vipi mwenzangu jana ilikuwaje?
Andunje wa pili: Ilikuwa aibu sikuweza mfikia vizuri, enhe na wewe ilikuwaje?
Andunje wa kwanza: Bora wewe mie hata kitandani nlishindwa panda.
Idiot
Kwenye darasa moja la shule moja ya kizungu:
Mwalimu: Any one who is idiot asimame.
Darasa loote likakaa kimya.
Mwanafunzi mmoja akaanyoosha mkona.
Mwalimu: Enhe! Tell me what is it.
Mwanafunzi: Nashangaa wewe ndio uliesimama peke yako.
Mwalimu: Any one who is idiot asimame.
Darasa loote likakaa kimya.
Mwanafunzi mmoja akaanyoosha mkona.
Mwalimu: Enhe! Tell me what is it.
Mwanafunzi: Nashangaa wewe ndio uliesimama peke yako.
Monday, October 25, 2010
Kiwembe
''Dokta mwanangu amemeza kiwembe naomba msaada wako'' Baba akiongea kwenye simu.
Dokta ''okey nakuja, umechukua hatua gani mpaka sasa?''
Baba, ''nimeamua kunyoa kwa kutumia mashine ya umeme badala yake''
Dokta ''okey nakuja, umechukua hatua gani mpaka sasa?''
Baba, ''nimeamua kunyoa kwa kutumia mashine ya umeme badala yake''
Chupi mpya
Demu: honey ninunulie chupi mpya. Unajua wanaume wenzio wananishangaa chupi zangu za kizamani!
Saturday, October 23, 2010
Kuokota
Jamaa wawili wakisimuliana jambo:
Kijana wa kwanza: Jana nlikua natembea njiani nkaokota wallet ila bahati mbaya ndani ilikuwa empty!
Kijana wa pili: Mimi pia jana hiyo hiyo nliokota sidiria ya mwanamke ila bahati mbaya ilikuwa empty pia ndani.
Kijana wa kwanza: Jana nlikua natembea njiani nkaokota wallet ila bahati mbaya ndani ilikuwa empty!
Kijana wa pili: Mimi pia jana hiyo hiyo nliokota sidiria ya mwanamke ila bahati mbaya ilikuwa empty pia ndani.
Mtoto kuua inzi
Mtoto: Mama, leo nimeua inzi watatu madume na wawili majike.
Mama: Enhe!? We umewajuaje?
Mtoto: Kwa sababu inzi watatu walikua kwenye chupa ya bia, na wawili walikuwa kwenye kioo cha dressng table.
Mama: Enhe!? We umewajuaje?
Mtoto: Kwa sababu inzi watatu walikua kwenye chupa ya bia, na wawili walikuwa kwenye kioo cha dressng table.
Kipofu
Kipofu mmoja alikuwa ameshika gazeti amelifunua, jamaa mmoja akamfuata na kumuuliza ''kaka wewe si kipofu unawezaje kusoma gazeti?''
Kipofu nae akamjibu ''hapana sisomi gazeti naangalia picha tu''
Kipofu nae akamjibu ''hapana sisomi gazeti naangalia picha tu''
Vichaa
Vichaa walipelekwa kwenye bwawa la kuogelea lisilo na maji wakaambiwa waingie waogelee! Woote wakaingia isipokuwa wawili, wakaulizwa mbona nyie hamuingii kuogelea?
Wa kwanza akajibu ''ntaingiaje wakati hamjanipa chupi ya kuogelea.''
Wa pili akajibu ''mimi mpaka mkinipa boya la kuelea ndo ntaingia.''
Wa kwanza akajibu ''ntaingiaje wakati hamjanipa chupi ya kuogelea.''
Wa pili akajibu ''mimi mpaka mkinipa boya la kuelea ndo ntaingia.''
Friday, October 22, 2010
Chakula
Jamaa alipakua chakula, wakati anaenda kula mwenzake akamuuliza ''mbona humsubiri mwenzako?'' (kisa amepakua kingi)
Tuesday, October 19, 2010
Somo la Historia
Mwalimu mmoja wakati anafundisha somo la historia darasani akatamka ''natamani ningekuwa nimeishi miaka 1000 iliyopita''
Mwalimu akamuuliza, ''kwa nini?''
Mwanafunzi akajibu ''nisingekua nalisoma hili somo sasa?''
Mwalimu akamuuliza, ''kwa nini?''
Mwanafunzi akajibu ''nisingekua nalisoma hili somo sasa?''
Jeneza
Siku moja tajiri mmoja alikufa na kutengenezewa jeneza la ukweli (thamani sana). Alipozikwa tu usiku wake kibaka akajitosa kufukua na kutoka nalo na kumzika bila jeneza.
Nje kwenye geti akakutana na askari waliokua doria.
Askari: Wewe unafanya nini huku? Unazika watu usiku? Na hilo Jeneza umelibeba kwa nini?
Kibaka: Nimewaambia ndugu zangu nataka kuzikwa Ilala wao wamenizika Kinondoni, nimeamua kwenda mwenyewe kutoka.
Polisi walilala mbele (walikimbia wote).
Nje kwenye geti akakutana na askari waliokua doria.
Askari: Wewe unafanya nini huku? Unazika watu usiku? Na hilo Jeneza umelibeba kwa nini?
Kibaka: Nimewaambia ndugu zangu nataka kuzikwa Ilala wao wamenizika Kinondoni, nimeamua kwenda mwenyewe kutoka.
Polisi walilala mbele (walikimbia wote).
Monday, October 18, 2010
Ndege imeelemewa!
Ndege moja angani ilielemewa, wakapunguza mizigo kwa kuitupa bado haikusaidia. Ikabidi wapunguze abiria, rubani akasema ''tutaita ALPHABETICALLY''
All Africans... Watu kimya!
All blacks... Watu kiimya!
All Caribean... Watu kimya!
Mtoto akamuuliza baba yake ''baba kwani sisi sio waafrica?'' Baba akajibu, ''shhh kuanzia sasa sisi ni Zanzibarians''
All Africans... Watu kimya!
All blacks... Watu kiimya!
All Caribean... Watu kimya!
Mtoto akamuuliza baba yake ''baba kwani sisi sio waafrica?'' Baba akajibu, ''shhh kuanzia sasa sisi ni Zanzibarians''
Sunday, October 17, 2010
Sigara
Kijana mmoja alienda duka moja na kuuliza:
Kijana: Samahani unauza sigara moja moja?
Muuzaji: Hapana ni kwa pakti tu.
Jamaa akaondoka, kesho yake na kesho kutwa akaja tena. Siku ya mbele yake akaamua kujiandaa!
Alipofika muuzaji akamjibu:
Kijana: Samahani unauza sigara moja moja?
Muuzaji: Ndio.
Kijana: Shilingi ngapi?
Akatajiwa na jamaa akafungua pakti moja na kumuuliza.
Muuzaji: Unataka ngapi?
Kijana: Nataka 20.
(pakti moja inabeba sigara 20)
Kijana: Samahani unauza sigara moja moja?
Muuzaji: Hapana ni kwa pakti tu.
Jamaa akaondoka, kesho yake na kesho kutwa akaja tena. Siku ya mbele yake akaamua kujiandaa!
Alipofika muuzaji akamjibu:
Kijana: Samahani unauza sigara moja moja?
Muuzaji: Ndio.
Kijana: Shilingi ngapi?
Akatajiwa na jamaa akafungua pakti moja na kumuuliza.
Muuzaji: Unataka ngapi?
Kijana: Nataka 20.
(pakti moja inabeba sigara 20)
Ajali
Dereva mmoja alimgonga mwanamke mmoja barabarani. Wakati anaulizwa hali ikawa hivi:
Raia wa kawaida: Sasa hapa nani mwenye makosa?
Dereva akajibu: Mwanamke.
Raia: Kwa nini unasema mwanamke ndio ana makosa?
Dereva: Kwanini amekuja barabarani badala ya kuwa joikoni?
Raia wa kawaida: Sasa hapa nani mwenye makosa?
Dereva akajibu: Mwanamke.
Raia: Kwa nini unasema mwanamke ndio ana makosa?
Dereva: Kwanini amekuja barabarani badala ya kuwa joikoni?
Mkate
Mteja: Habari? Nipatie mkate.
Dukani: Unataka upi? Mweupe au Wa brown?
Mteja: We nipe wowote nae mnunulia ni kipofu.
Dukani: Unataka upi? Mweupe au Wa brown?
Mteja: We nipe wowote nae mnunulia ni kipofu.
Mtoto na babu!
Mtoto alikua amekaa kibarazani na babu yake.
Mtoto: Babu nikuulize swali la kizushi?
Babu: Uliza mjukuu wangu.
Mtoto: Unaikumbuka siku ya kwanza uliyo-kiss?
Babu: Mjukuu wangu hiyo ya mwisho tu siikumbuki sembuse ya kwanza!!
Mtoto: Babu nikuulize swali la kizushi?
Babu: Uliza mjukuu wangu.
Mtoto: Unaikumbuka siku ya kwanza uliyo-kiss?
Babu: Mjukuu wangu hiyo ya mwisho tu siikumbuki sembuse ya kwanza!!
Saturday, October 16, 2010
Miguu ya chura
Jamaa aliingia kwenye restaurant ya wachina akamuita mhudumu na kumuuliza, ''aisee una miguu ya chura?''
Mhudumu akajibu ''ndio mkuu''
Mteja: Okey basi ruka mara moja hapo mtaa wa pili ukanichukulie sigara tatu.
Mhudumu akajibu ''ndio mkuu''
Mteja: Okey basi ruka mara moja hapo mtaa wa pili ukanichukulie sigara tatu.
Toilet paper
Jamaa alienda nunua toilet paper, mkewa akamuuliza ''sasa mbona umenunua nyeupe tuu mi nilitaka za rangi?''
Mume akajibu: Za rangi ni gharama kidogo ntazipaka rangiz hizi hizi nyeupe usiwe na wasiwasi.
Mume akajibu: Za rangi ni gharama kidogo ntazipaka rangiz hizi hizi nyeupe usiwe na wasiwasi.
Watalii
Mtalii mmoja alitekwa bahati mbaya na watu porini asiowajua, akaulizwa ''what is your name?''
Mzungu yule mtalii akanena na yeye ''kwa nini mnataka kujua jina yangu?''
Mmoja wa watekaji akajibu ''ni kwa ajili ya menu ya leo''
Mzungu yule mtalii akanena na yeye ''kwa nini mnataka kujua jina yangu?''
Mmoja wa watekaji akajibu ''ni kwa ajili ya menu ya leo''
Kuibiwa
Jamaa mmoja aliamka usiku mkubwa akaenda sebuleni kuchukua betri aweke kwenye tochi.
Alipoweka tu na kuwasha akakutana na kibaka ndani ya nyumba yake.
Kibaka: Nimekuja kukuibia kaa kimya...
Mwenye Nyumba: Oh! Okey mi nazima tochi naenda kulala ukipata kitu chenye thamani niamshe nkusaidie kubeba!
Alipoweka tu na kuwasha akakutana na kibaka ndani ya nyumba yake.
Kibaka: Nimekuja kukuibia kaa kimya...
Mwenye Nyumba: Oh! Okey mi nazima tochi naenda kulala ukipata kitu chenye thamani niamshe nkusaidie kubeba!
Mapenzi
Mwanamke akiwa dakika za mwisho hoi hospitalini akimuambia mumewe.
Mwanamke: Mume wangu niahidi utatafuta mwanamke mwingine nikifa.
Mwanaume: Nakuahidi mke wangu.
Mwanamke: Utampa jaketi langu alivae uwe unanikumbuka?
Mwanaume: Mhh! Mbona lile jacket halimtoshi ye mnene kidogo.
Mwanamke: Mume wangu niahidi utatafuta mwanamke mwingine nikifa.
Mwanaume: Nakuahidi mke wangu.
Mwanamke: Utampa jaketi langu alivae uwe unanikumbuka?
Mwanaume: Mhh! Mbona lile jacket halimtoshi ye mnene kidogo.
Kutoroka
Wafungwa wawili walipanga njama za kutoroka:
mfungwa wa kwanza: Tufanye hivi tukifika pale getini si kuna ukuta? Halafu tunapanda na kuruka.
Mfungwa wa pili: Anha! Tuchimbe chini kwa chini ndio.......!
Wakaamua wachukua choice one, walipofika eneo la geti kubwa mmoja kati yao akasema ''shenzi kumbe hamna ukuta!!''
mfungwa wa kwanza: Tufanye hivi tukifika pale getini si kuna ukuta? Halafu tunapanda na kuruka.
Mfungwa wa pili: Anha! Tuchimbe chini kwa chini ndio.......!
Wakaamua wachukua choice one, walipofika eneo la geti kubwa mmoja kati yao akasema ''shenzi kumbe hamna ukuta!!''
Ugonjwa wa kusahau
Mwanamke: Dokta nimekuja nna tatizo, mume wangu ana tatizo la kusahau sana.
Dokta: Ooh! Nini dalili za hilo tatizo alilo nalo?
Mwanamke: Akiona mwanamke mzuri tu anasahau kua ameshaoa!
Dokta: Ooh! Nini dalili za hilo tatizo alilo nalo?
Mwanamke: Akiona mwanamke mzuri tu anasahau kua ameshaoa!
Subscribe to:
Posts (Atom)