Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, February 10, 2012

55

Mwalimu aliwaambia wanafunzi wa chekechea waandike namba 55.
Mwanafunzi mmoja akaandika 5 akawa kaganda tu.
Mwalimu akamuuliza mbona huandiki ingine?
Mwanafunzi akajibu "mwalimu sijui niandike upande gani, kwa mbele au kwa nyuma?"

No comments:

Post a Comment