Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, February 2, 2012

Kupanda na...

Jamaa mmoja alitoka kijijini akaja mjini Dar es Salaam. Siku moja wakati ameenda kupanda daladala kabla hajapanda akamuuliza konda "kondakta samahani naruhusiwa kupanda na viatu?"

No comments:

Post a Comment