Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, February 29, 2012

Kibaka

Raia walifukuza mwizi akakimbilia makaburini usiku. Punde akavua nguo zote na kuelekea walipo raia wenye hasira. "tunamtafuta mtu kapita hapa na kifurushi" jamaa akajibu "sijamuona, mi mwenyewe mgeni hapa nimezikwa jana ngoja niwaulize wenyeji wangu"
Raia hamna aliebaki baada ya hapo.

No comments:

Post a Comment