Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, February 5, 2012

Kupiga pasi

Jamaa mmoja aliambiwa akapige pasi shati:
Jamaa: Nisaidie kulinyoosha kwa pasi hilo shati hapo na pasi hiyo hapo ya mkaa.
Alieambiwa akajibu "hii pasi yako haipigi shoti, naogopakurushwa"

No comments:

Post a Comment