Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, February 4, 2012

Safari ya boti

Mzee mmoja alikua kwenye boti akielekea visiwani, bahati mbaya upepo ukavuma na msuli aliovaa ukapeperuka. Mzee muda wote huo aliwahi kikofia chake (baraka-sheikh).

Kumuuliza matokeo ya kuzuia kofia na kubaki uchi yeye akajibu "hizo nywele mzionazo na hiyo naniliu vyote vya zamanj, hii kofia bado mpyaa."

No comments:

Post a Comment