Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, February 3, 2012

Utaniii

Jamaa mmoja mrefu alilala kitandani, kwa vile kitanda ni kidogo miguu ilizidi nje. Rafiki zake walipokuja wakamfunga kitambaa chekundu wakimaanisha mzigo umezidi bodi kama kwenye gari ya mizigo.

No comments:

Post a Comment