Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, February 18, 2012

Kusali kabla...

Mwalimu wa hesabu na mwanafunzi wa darasa la tatu.
Mwalimu: Fredy mbona una sali saa hizi?
Mwanafunzi: Mama aliniambia niwe nasali kabla ya kulala.

No comments:

Post a Comment