Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, February 9, 2012

Mke anakufa

Mke akiwa hoi/mahututi hospitali "mume wangu kuna jambo nikuambie kabla sijafa niwe na amani niendako"

Mume: Usihangaike kila kitu kipo sawa mke wangu...
Mke: Mume wangu nililala na rafiki yako, jirani yako na boss wako... Hivyo naomba unisamehe.
Mume: Usijali najua yote hayo ndio maana nimekuwekea sumu.

No comments:

Post a Comment