Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, February 18, 2012

Mtoto wa nje

Mwanamke mmoja alijifungua mtoto, si mume wake wa ndoa. Mume alikubaliana na hali halisi. Akapaka sumu kwenye chuchu ili mtoto afe, siku iliyofuata alipigiwa simu arudi nyumbani kuna msiba.

Akiwa njiani huku akitabasamu kutimia kwa lengo lake alipofika nyumbani akapewa taarifa kuwa, aliefariki ni "house boy" na si mtoto.

No comments:

Post a Comment