Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, February 15, 2012

Majibu...

Nesi alitoka leba na kumpa majibu mume wa mama aliepo leba.
Nesi: Hongera sana mkeo kajifungua watoto watatu wenye afya nzuri.
Mume: Nilijua tu ona sasa hao watoto wa ziada wawili ni wa nani?

No comments:

Post a Comment