Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, February 9, 2012

Bidhaa gani?

Mwalimu: Ni bidhaa gani tunaipata kutoka mtibwa?
Mwanafunzi: Hata sijui mwalimu.
Mwalimu: Wewe ina maana hamnunui sukari?
Mwanafunzi: Hatununui tunaombaga kwa jirani

No comments:

Post a Comment