Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, February 3, 2012

Maembe yakigawana

Jamaa wawili walinunua maembe sasa wakaamua wakayahifadhi kwenye chumba cha kuhifadhi maiti. Baadae mlinzi akasikia watu wakiongea "...we chukua hii nipe hiyo..." Mlinzi,akakimbia na kukutana na dokta akamuambia huku akihema "dokta... Hahh hahh... Mochuari maiti zinachukuliwa na shetani wanagawana"

No comments:

Post a Comment