Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, February 29, 2012

Gari mupya

Jamaa alinunua benz automatic gia. Akaendesha vizuri lakini usiku uligoma kabisa kwenda. Kuita fundi akawa anaelezea baada ya kuhojiwa ni vipi imemgomea kwenda akajibu "ni hivi... Mchana nikiweka D inaenda vizuri, ila usiku haiendi nkiweka N. Au N sio for "Night and D for Day?"

No comments:

Post a Comment