Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, February 12, 2012

Msiba wa tembo

"Mbona unalia?" Mtoto aliulizwa.
Akajibu "tembo amekufa"
"alikua mnyama wako?"
Mtoto akajibu "hapana mimi ndio wa kumchimbia kaburi"

No comments:

Post a Comment