Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, February 1, 2012

Dereva alipoambiwa

Dereva mmoja alishuka kwenye gari haraka haraka baada ya kusimamishwa na mtu haraka haraka na kuhoji "vipi mbona umenisimamisha ghafla hivi kuna nini?"
Jamaa aliemshusha akanena "matairi yanazunguka huku nje ndio nkikuambia."

No comments:

Post a Comment