Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, February 22, 2012

Mawazo ya mtoto

Mtoto: Baba na mama nimemleta fundi yupo hapo nje anawaaubiri"
Baba akadakia "mimi nimekuagiza au mama yako?"
Mtoto: Hamna alieagiza, mimi nimemleta awatengenezee kitanda chenu kina kelele sana usiku kulala shida."

No comments:

Post a Comment