Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, February 9, 2012

Konda na abiria

Kondakta: Dada ingia kuna kiti pale nyuma.
Dada: Siwezi kukaa siti za nyuma.
Kondakta: We si mwendaji kwani za nyuma zipo nje ya gari...

No comments:

Post a Comment