Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, February 9, 2012

Kitu msikitini

Jamaa aliingia na panga msikitini "nani muislamu hapa?" Msikitini kiimyaa. Akamchukua mmoja akatoka nae nje akamchinjie kuku. Akarudi msikitini na panga likiwa na damu akauliza tena "nani muislamu humu?" Waumini wakamuonyeshea imamu, imamu nae akajitetea "jamani mie kusalisha siku mbili tu ndio nshakua muislamu?" Jamaa mwenye panga akajibu "nataka ukanisaidie kumchuna ngozi mbuzi wangu"

No comments:

Post a Comment